SHOO YA DIAMOND YAVUNJA REKODI SONGEA
Akizungumza na Teentz.com mapema leo Mkurugenzi wa Jambo Lee Club ambayo iliratibu ziara nzima ya mwanamuziki huyo amesema kuwa shoo ya Diamond imevunja rekodi na kuingia kwenye kumbukumbu za watu kwa kujaza watu wengi na pia ikiwa ni shoo pekee iliyokuwa na msismko mkubwa kuliko hata inavyokuwa wakati wa michezo ya soka inayozihusisha timu kubwa na Simba na Yanga zinapokuja kucheza Songea.

BOB JUNIOR ATUPIWA ZIGO LA LAWAMA

Wakizungumza kwa nyakati tofauti na Teentz.com mashabiki hao wlaiojitambulisha kuwa ni wakazi wa Gongo la Mboto walisema kuwa wameshindwa kumuelewa Bob Junior kwa kushindwa kuwaonyesha shemeji yao na kisha kukaa kimya bila kusema lolote tangu kufanyika kwa shoo hiyo jumapili iliyopita.
"Binafsi sikupendezwa na hali hile kwani licha ya kuja kuburudika, nia yangu kubwa ilikuwa ni kumuona mkewa wa Bob Junior msanii ambaye kwangu mimi ninamkubari kuliko wengine wote waliopo kwenye game" alisema mmoja wa mashabiki hao aliyejitambulisha kwa…
No comments:
Post a Comment