Tuesday, June 12, 2012

USHER RAYMOND NDANI YA MAANDALIZI YA KUACHIA ALBUM YAKE MPY

Usher Raymond baada ya mwaka juzi kuachia album yake ya mwisho (26/march/2010) ajipanga kwa mara nyingine tena kuachia karibuni album yake ya saba mwaka huu.Kwasasa msanii huyo yupo katika maandalizi hayo na hivi karibuni hapa hapa teentz.com tutaendelea kukuhabarisha juu ya album hiyo na tarehe hiyo…

No comments:

Post a Comment