MADEE KUANZISHA KOMBE LA NG’OMBE KUUNGANISHA VIJANA WA MANZESE, UBUNGO NA KIMARA
Unapoona
jamii imekupa surport ya kutosha kufikia kwenye mafanikio uliyonayo,
basi kuirudishia jamii ama ku give back huwa ndo jambo la muhimu zaidi,
na styles za kugive back zinatofautiana,
hivi
karibuni rapper madee anatarajia ku launch shindano la mpira wa miguu,
litakalojumuisha zaidi ya team 20 ndani ya wilaya kinondoni zitakazokua
zinagombea ng’ombe
madee huyu hapa anafunguka
No comments:
Post a Comment