Wednesday, June 13, 2012

CHIDI BENZ: NEY NDIO NANI, ANAFANYA NINI MI SIMJUI, SIMJUUUIII NDIO NANI




jana wakati akihojiwa mtu mzima Chidi Beenz kupitia kipindi cha xxl cha Cloudsfm kilichokuwa kinaruka luve kupitia clouds Tv pia kuhusu diss alizoshushiwa na msanii Ney wamitego kwenye wimbounaoitwa Nasema nao alikua na haya ya kusema '' ndio nani huyo, anafanya nini, mi simjui ameshawahi kufanya kazi gani ? na ameshawahi kufanya na nani?
 mimi nimefanya kazi na diamond, mzee yusuph, banza stone na wengine wenye majina ye ni naniii, mi simjui anatukana matusi, ye anatukana katusi si tunafanya matusi......''

baada ya hapo chidi akaachia joint mpya akiwa na mwana mama khadija kop




No comments:

Post a Comment