Thursday, July 19, 2012

KATIKA KICHWA CHA DRAKE NAONA KAMA ALIWAZA NIKIFANIKIWA TU LAZIMA NIMILIKI BONGE MOJA LA NYUMBA.(MANSION), AMETUMIA DOLA MILIONI 7.7 NYUMBA IPO LOS ANGELES.



ikumbukwe pia drake ni moja kati ya wasanii ambao mgabo 
ndege anamzimia kinomanoma yani






Ataweza kumualika rafiki yake Serena William agonge Tennis kidizaini kwenye nyumba yake huku wakila bata.

NDOA YA HEMEDI YAKWAMA KISA ELIMU NDOGO



NDOTO kufunga pingu za maisha siku za karibuni alizokuwanazo nyota kutoka 'Bongo move' Hemed Suleiman 'PHD', zimeota mbawa kufuatia wazazi wa mlimbwende aliyetaka kumuoa kuweka ngumu.

katika mahojino mawili matatu Hemed amesema kuwa tayari alikuwa ameanza taratibu za kushughulikia ndoa yake na mrembo huyo iliyopangwa kufungwa kimya kimya kwa kuogopa watu wenye nia mbaya lakini amejikuta akilazimika kustisha harakati hizo kufuatia wazazi wa binti huyo wakaweka ngumu kwa madai kuwa wanataka mtoto wao amalize kwanza masomo yake na kupata 'mastaz' kwa kuwa elimu ya Degree aliyonayo hivi sasa wanahisi bado haijamtosha.

"unajua mchumba wangu hivi sasa ana elimu ya degree hivyo wazazi wamesema hawezi kuruhusujambo hilo kwanza mpaka apate 'mastaz' halafu ndiyo mambo mengine yatafuata, imeniuma sana kwa kuwa wenyewe tulishakubaliana na mwenzangu alikuwa tayari kwa hilo" alisema Hemed.

katika hatua nyingine Hemed amesema kuwa yuko katika hatua za mwisho kutoa muvi yake mpya aliyoibatiza jina la Mererani ndani yake akiwa amemshirikisha swahiba wake wa kitambo Yusuf Mlela sambamba na wakali wengine kibao wanaofanya kweli na Bongo move

BEYONCE NA SOLANGE KNOWLES WAGOMBANA KISA URAFIKI NA KIM KARDASHIAN





The Keeping Up With The Kardashiansreality star ameingia kaatika urafiki na Grammy award-winning singer baada ya kuwa na uhusiano na rafiki wa karibu wa Beyonce, Kanye West. Beyoce na Kim wameonekana pamoja katika 'Watch The Throne' tour ya Kanye na Jay-Z na katika tuzo zilizopita hivi karibuni za BET, huku ikisemekana kuwa Kim pia anazidi kujiweka karibu na mtoto wa Beyonce mwenye miezi sita sasa, Blue Ivy.
licha ya urafiki huo kuonekana kushamiri, mdogo wake Beyonce, Solange Knowels hajafurahishwa kabisa na urafiki huo na kuamua kumuambia dada yake ya moyoni
"kwa maono ya Solange, Beyonce ni stand-out star, wakati Kim ni star wa reality TV ambae amejiolea umaarufu baada ya kuvuja kwa video yake ya x a.k.a pilau." kimeelezea chanzo
"kwahiyo Solange akmvutia waya B juu ya hilo ambapo B alimjibu kuwa anaweza kuwa rafiki na mtu yeyote anaemtaka yeye.
beyonce awe rafiki na yeyote anaetaka yeye , ama unadhani  mdogo wake ana point hapo.??????

MTOTO WA KAMBO WA USHER RAYMOND KUTOLEWA KWENYE LIFE SUPPORT MASHINE MWANZONI WA MWEZO WA NANE


wiki moja baada ya mtoto wa kambo wa Usher Raymond  Kyle Glover kutangazwa kuwa ubongo wake umekufa baada ya ajali ya jet ski katika ziwa Lanier Atlanta, inasemekana kuwa ex-wife wa Usher Tameka Foster atalazimika kumtoa mtoto huyo mwenye miaka 11 kwenye life support mashine mapema mwezi wa nane.
habari zinasema kuwa kampuni ya insurance ya Tameka inategemea kutoa deadline ya kuendelea kulipa billi kubwa kutoka katika hospitali hiyo na kuweka wazi kuwa ni miezi kadhaa ijayo. mama wa mtoto Tameka amesema anaamini miujiza itatokea na mtoto huyo atarudi tena duniani ....



 

No comments:

Post a Comment