Watu wawili ambao ni Masaganya Kalimanzila umri wa miaka 30
(mwanamke) na Chiza Juma (mwanaume) waliotambulika kuwa ni wachawi mara
baada ya kubanwa na kujitambulisha wamekamatwa majira ya saa 12 asubuhi
leo katika kanisa la Ufunuo lililopo maeneo ya Butimba jijini Mwanza
wakisafiri kwa ungo toka kijiji cha Kaziramkunda wilayani Kasulu mkoani
Kigoma hadi jijini Mwanza kwania ya kuwachukuwa watu watatu walioagizwa
kwaajili ya sadaka. picha zaidi tembelea www.gsengo.blogspot.com
No comments:
Post a Comment