Wednesday, June 13, 2012

Image of Wachawi wanaswa kanisani Mwanza [Video]WACHAWI WAPOTEA NJIA MWANZA

Watu wawili ambao ni Masaganya Kalimanzila umri wa miaka 30 (mwanamke) na Chiza Juma (mwanaume) waliotambulika kuwa ni wachawi mara baada ya kubanwa na kujitambulisha wamekamatwa majira ya saa 12 asubuhi leo katika kanisa la Ufunuo lililopo maeneo ya Butimba jijini Mwanza wakisafiri kwa ungo toka kijiji cha Kaziramkunda wilayani Kasulu mkoani Kigoma hadi jijini Mwanza kwania ya kuwachukuwa watu watatu walioagizwa kwaajili ya sadaka. picha zaidi tembelea www.gsengo.blogspot.com
video
 

No comments:

Post a Comment