Wanamuziki walaani Manny Pacquiao kunyimwa ushindi dhidi ya Tim Bladley
Kama ulikuwa hujui ni
mchezo gani unaopendwa duniani baada ya soka leo jibu utalipata.
Boxing inapendwa jamani!
Alfajiri hii nchini Marekani kulikuwa na pambano la ngumi kati ya Manny Pacquiao
wa Ufilipino na Tim Bladley wa Marekani.
Bladley amepewa ushindi wa
pointi.
Pacquiao, ambaye mwaka huu
umaarufu wake uligeuka kama dini yenye wafuasi wengi ameshinda mapambano saba
mfululizo na imeonekana wazi kuwa ametawala pambano la leo, lakini ameshindwa.
No comments:
Post a Comment